Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.

Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.

Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…

Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.

Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.

Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.

Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!

Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on October 22, 2017

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 13, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on September 4, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Charles Mchome (Guest) on August 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on May 26, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on April 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Makame (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Chiku (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on February 7, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on February 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 11, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on December 6, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 30, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nashon (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Mallya (Guest) on October 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on July 27, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on June 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on June 9, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Onyango (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Janet Mwikali (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zainab (Guest) on December 20, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nasra (Guest) on August 18, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on August 15, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Mchome (Guest) on July 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nuru (Guest) on June 12, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salma (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on May 25, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwafirika (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About