Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu? MKE: Akasimama na kusema: Mheshimiwa hakimu hivi ukimwaga mbegu ktk shamba la mtu mti ukiota utakuwa wa kwako au wa mwenye shamba?. Hebu tumsaidie hakimu aamue kesi hii…
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Mboya (Guest) on June 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sharon Kibiru (Guest) on June 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on June 4, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 30, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kidata (Guest) on May 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Minja (Guest) on May 17, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 3, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on April 16, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on March 14, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on January 25, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Moses Mwita (Guest) on November 3, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 31, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 20, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanais (Guest) on September 18, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on July 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 2, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on June 1, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on May 24, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Safiya (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on April 24, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Karani (Guest) on April 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Mushi (Guest) on April 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 15, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on February 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on February 5, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on February 1, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Khalifa (Guest) on January 16, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Omari (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on December 10, 2015

🀣πŸ”₯😊

Esther Nyambura (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 11, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 26, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on September 9, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Achieng (Guest) on July 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mchome (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Henry Mollel (Guest) on June 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mazrui (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joy Wacera (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kijakazi (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Kevin Maina (Guest) on May 6, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Related Posts

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

πŸ“– Explore More Articles