Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nuru (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Maimuna (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on March 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Mrope (Guest) on January 20, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mgeni (Guest) on January 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 23, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on November 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on August 20, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jamal (Guest) on July 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on May 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 7, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 4, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2016

🀣πŸ”₯😊

Stephen Amollo (Guest) on March 20, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 3, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on December 13, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on November 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joyce Mussa (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on October 18, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Otieno (Guest) on September 13, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 23, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on July 3, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kazija (Guest) on June 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sekela (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles