Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utani wa wachaga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarafina (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amir (Guest) on September 15, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Benjamin Masanja (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 9, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on July 28, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on June 25, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salma (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ann Awino (Guest) on June 13, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 25, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on March 26, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Mwalimu (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on February 10, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mashaka (Guest) on February 4, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Chiku (Guest) on October 9, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on October 8, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Robert Okello (Guest) on October 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Kawawa (Guest) on September 7, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Henry Mollel (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Yusuf (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sekela (Guest) on March 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on March 15, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on January 10, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Khamis (Guest) on October 17, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 10, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

John Kamande (Guest) on September 30, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on September 16, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on September 11, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 4, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on August 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on July 31, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 27, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Tenga (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Sumari (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Jebet (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 2, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 16, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Mallya (Guest) on April 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About