Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on February 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on January 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on January 18, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 19, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ann Awino (Guest) on December 4, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 8, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 22, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on August 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on August 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on July 10, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mhina (Guest) on July 9, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Edith Cherotich (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sekela (Guest) on May 30, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on April 8, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Yahya (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Andrew Mchome (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mrope (Guest) on January 29, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 22, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Malecela (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on November 27, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Agnes Lowassa (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Michael Onyango (Guest) on August 27, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Tabu (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Kevin Maina (Guest) on August 7, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mercy Atieno (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 16, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

John Mwangi (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanais (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on June 20, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Diana Mumbua (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Kendi (Guest) on May 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on April 28, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 12, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Related Posts

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

πŸ“– Explore More Articles