Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on February 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on January 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on January 18, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 19, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ann Awino (Guest) on December 4, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 8, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 22, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on August 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on August 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on July 10, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mhina (Guest) on July 9, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Edith Cherotich (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sekela (Guest) on May 30, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on April 8, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Yahya (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Andrew Mchome (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mrope (Guest) on January 29, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 22, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Malecela (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on November 27, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Agnes Lowassa (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Michael Onyango (Guest) on August 27, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Tabu (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Kevin Maina (Guest) on August 7, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mercy Atieno (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 16, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

John Mwangi (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanais (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on June 20, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Diana Mumbua (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Kendi (Guest) on May 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on April 28, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 12, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More