Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ndoto (Guest) on July 16, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on June 19, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on May 22, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 7, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumaye (Guest) on March 15, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kazija (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on March 5, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on February 14, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Tabitha Okumu (Guest) on December 4, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on November 4, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 16, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Masika (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Susan Wangari (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on August 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 30, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on July 6, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 5, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 30, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rabia (Guest) on May 14, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Kibona (Guest) on May 12, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on April 25, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 17, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joyce Nkya (Guest) on March 24, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on February 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Lowassa (Guest) on January 23, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on December 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Lowassa (Guest) on October 14, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on September 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Majaliwa (Guest) on August 18, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on August 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 2, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Abdullah (Guest) on July 23, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rahma (Guest) on July 20, 2022

Asante Ackyshine

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 18, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on April 8, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on December 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on November 23, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Michael Onyango (Guest) on November 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About