Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: December 25, 2020
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?
Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.
SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala
jamaa: hellow hellow ( jamaa ak...
Read More
Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil...
Read More
Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge...
Read More
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k...
Read More
CHEKA KIDOGO
MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk...
Read More
Pale unapokuwa umefulia sanaβ¦
Mgeni anakutembelea Maskani kwakoβ¦.Unaamua Kuchukua Ile S...
Read More
Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.
mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj...
Read More
01.π Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.
<...
Read More
Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua...
Read More
Haya ndiyo majibu mazuriππππππππππ
Q: Umenyoa nywele?
Read More
Wanaume wana upendo kwa kweli.
Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H...
Read More
Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ...
Read More
Monica Lissu (Guest) on July 12, 2024
πππ
Asha (Guest) on June 29, 2024
π Nacheka hadi chini!
Chris Okello (Guest) on May 20, 2024
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Faiza (Guest) on May 2, 2024
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Grace Mligo (Guest) on April 25, 2024
π ππ
Josephine Nekesa (Guest) on March 8, 2024
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Chris Okello (Guest) on February 27, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Maulid (Guest) on February 24, 2024
π Umenishika vizuri!
Mjaka (Guest) on February 9, 2024
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
George Ndungu (Guest) on February 8, 2024
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Linda Karimi (Guest) on January 22, 2024
Napenda jokes zenu! ππ
Victor Malima (Guest) on January 6, 2024
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Hekima (Guest) on December 21, 2023
π Umeimaliza kabisa!
Mary Kendi (Guest) on December 12, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Dorothy Nkya (Guest) on December 9, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2023
π€£ππ
Irene Makena (Guest) on November 24, 2023
ππ
Mary Mrope (Guest) on November 17, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Yusra (Guest) on November 13, 2023
π Bado ninacheka!
Kazija (Guest) on November 12, 2023
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Alice Mwikali (Guest) on August 22, 2023
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Agnes Sumaye (Guest) on July 7, 2023
π Nalia kwa kweli hapa!
Irene Akoth (Guest) on July 5, 2023
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Sarafina (Guest) on June 28, 2023
π Kali sana!
Hashim (Guest) on June 8, 2023
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Simon Kiprono (Guest) on May 1, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Grace Minja (Guest) on April 11, 2023
ππ€£π₯
Martin Otieno (Guest) on April 2, 2023
Asante Ackyshine
Fredrick Mutiso (Guest) on April 2, 2023
ππ ππ
Mary Kidata (Guest) on March 29, 2023
π€£π€£ππ
Lucy Mahiga (Guest) on March 28, 2023
ππππ
Monica Adhiambo (Guest) on March 27, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Mwagonda (Guest) on March 10, 2023
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Janet Wambura (Guest) on March 6, 2023
π Ninashiriki mara moja!
Mwakisu (Guest) on February 26, 2023
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Benjamin Masanja (Guest) on January 25, 2023
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Hassan (Guest) on January 2, 2023
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Farida (Guest) on December 31, 2022
π Hiyo punchline!
Samson Mahiga (Guest) on December 11, 2022
Hii ni kali sana! ππ€£
Charles Mrope (Guest) on November 12, 2022
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Paul Kamau (Guest) on October 27, 2022
π Hii imenigonga kweli!
Dorothy Majaliwa (Guest) on October 2, 2022
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Ruth Wanjiku (Guest) on September 20, 2022
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
George Ndungu (Guest) on September 4, 2022
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Esther Cheruiyot (Guest) on September 2, 2022
ππ€£
Selemani (Guest) on August 19, 2022
π Ninacheka sana sasa hivi!
Henry Sokoine (Guest) on August 7, 2022
Nimeipenda hii joke! ππ
Nahida (Guest) on July 25, 2022
π Lazima nihifadhi hii!
Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2022
π Hii ni kali sana!
Edward Lowassa (Guest) on June 14, 2022
π Dhahabu ya vichekesho!
Kenneth Murithi (Guest) on June 8, 2022
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Abubakar (Guest) on April 28, 2022
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2022
Mna talent ya jokes! ππ
Nancy Komba (Guest) on March 2, 2022
Hii imenifurahisha kweli! ππ
David Nyerere (Guest) on February 25, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Bernard Oduor (Guest) on February 16, 2022
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Rose Lowassa (Guest) on February 6, 2022
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Frank Sokoine (Guest) on January 3, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
Grace Wairimu (Guest) on December 30, 2021
π Nitaiiba hii bila shaka!
Nahida (Guest) on December 26, 2021
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π