Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rashid (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yahya (Guest) on May 18, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on April 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on April 13, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chris Okello (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 10, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on January 31, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 31, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on November 17, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 8, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on August 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hamida (Guest) on August 14, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on July 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 14, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on July 5, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on June 19, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 8, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Martin Otieno (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Shani (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on December 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on November 24, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 10, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Juma (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Lissu (Guest) on April 25, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 19, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on February 24, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on January 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on January 11, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kijakazi (Guest) on January 2, 2022

Asante Ackyshine

Shamsa (Guest) on December 23, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Zainab (Guest) on December 20, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About