Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mawazo ya Mungu ni makuu. Mungu anatuwazia mema daima. Hata unapopitia shida na matatizo katika maisha nia ya Mungu inabaki kuwa njema ya Kukuonyesha ukuu wake na kukuwezesha kumjua yeye. Pengine usingejua matendo ya Mungu bila kupitia shida na changamoto katika maisha. Mungu hapendi upate shida bali anaruhusu hayo ili upate faida ya kumjua na kujua uwezo wake. Hata Yesu ilibidi apitie mateso na kifo ili uwezo wa Mungu udhihirike baada ya kufufuliwa. Amini kuwa kuna mema mbele yako baada ya mateso haya ya sasa.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Dec 23, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Oct 14, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Oct 13, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Oct 7, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Sep 27, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Jul 29, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest May 14, 2023
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ David Ochieng Guest May 14, 2023
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Jan 20, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Nov 22, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Oct 10, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Sep 12, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest May 23, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Apr 15, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Apr 6, 2022
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Mar 25, 2022
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Dec 4, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Oct 4, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Aug 11, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ James Malima Guest Jul 18, 2021
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Jul 7, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Jun 7, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Apr 17, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Mar 16, 2021
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Nov 16, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Sep 11, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jun 17, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Jun 2, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Wilson Ombati Guest May 5, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Feb 29, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Dec 13, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Jul 20, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ John Malisa Guest Feb 3, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Dec 10, 2018
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Oct 13, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Jun 29, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Mar 27, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Mar 5, 2018
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Feb 20, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Nov 30, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Aug 27, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Jul 21, 2017
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Jun 20, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Mar 24, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Nov 21, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Nov 9, 2016
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Sep 28, 2016
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ John Lissu Guest Aug 23, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Apr 6, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Nov 14, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About