Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Je, sigara ni sumu kwa binadamu?

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ndiyo. Nikotini iliyo kwenye tumbaku ni sumu. Ukiwa na kiwango kikubwa cha nikotini katika damu utajisikia kichefuchefu, kutapika, kujaa kwa mate mdomoni, maumivu ya sehemu za chini ya tumbo, kuharisha, na kujihisi dhaifu. Dalili nyingine ni kuumwa na kichwa, kizunguzungu, kuongezeka kwa mapigo ya moyo, kupata shinikizo la damu, kutetemeka na kutokwa na jasho baridi. Nikotini nyingi inaweza kusababisha ukosefu wa umakini na pia ukosefu wa usingizi.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 0

Please log in or register to comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts! πŸ“

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About