Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile aina za dawa za kulevya, njia za utumiaji, hali ya mtu na mazingira anapozitumia dawa hizo za kulevya. Mtu anaweza kuanza kutumia dawa za kulevya mara kwa mara i ili kukidhi kile anachokihitaji. Kwa baadhi ya dawa za kulevya, na baadhi ya watu, matumizi ya mara kwa mara kwa kipindi cha zaidi ya wiki mbili ni kipimo tosha cha kumfanya aishi kwa kutegemea dawa za kulevya.

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?
Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba...
Read More

Kama sitaki kujamiiana kabla ya ndoa, nifanye nini ili kuondokana na adha ya vishawishi vya hao ambao ameshaanza kujamiiana?
Kama umeamua kutojamiiana kabla ya ndoa, huo ni uamuzi mzuri na ni haki yako. Kutojamiiana kabla ... Read More

Je, ni muhimu kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi?
Kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sana katika jamii yetu.... Read More

Je, mapacha wanapatikanaje?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenz... Read More

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino...
Read More

Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana
Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana
Kamwe hufai kuhisi... Read More

Je, watu huchanganyikiwa baada ya matumizi ya dawa za kulevya?
Kuna i imani potofu kwamba wote wenye matatizo ya akili wamekuwa hivyo kutokana na matumizi ya da... Read More

Je, ni kweli kwamba mtu anayekunywa pombe anaishi kwa muda mrefu kuliko yule ambaye hanywi kabisa?
Si kweli. Mpaka sasa wanasayansi hawajathibitisha kwamba
mtu anayekunywa pombe kidogo ndiye ...
Read More

Kama wameoana mume na mke na ikatokea hawapati mtoto, je, utajuaje kuwa tatizo liko kwa mwanamke au mwanaume?
Kwa wastani i i inachukua kama muda wa mwaka mmoja kwa mwanamke kuanza kupata ujauzito, wakikutan... Read More

Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako
-
Tafuta Muda wa Kipekee Kutafut... Read More

Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi u...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!