Nchini Tanzania ni 7% ya watu wenye umri kati ya miaka 15-49 wana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Hii i ii inamaanisha kuwa kati ya watu 100 wa umri huu 7 wao wameambukizwa na Virusi vya UKIMWI.
Kila mkoa una watu walioambukizwa kwa kiwango tofauti, mikoa mingine i ikiwa na kiwango cha juu . Jedwali lilioambatanishwa hapa linaonyesha Mkoa wa Mbeya, Iringa na Dar es Salaam kuathirika zaidi na i idadi kubwa ya watu waliopima na kuonekana kuwa na virusi vya UKIMWI.

Ni asilimia ipi ya Watanzani ambao wameambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!