Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa mgumba kwa njia ya kuzuia kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Magonjwa ya zinaa unaweza kuyazuia kwa njia ya kutojamii ana au kwa njia ya kutumia kondomu kila unapojamii ana. Kuna sababu nyingine za ugumba, nyingine unaweza kuzisababisha na nyingine ni za kimaumbile yako tangu ulipozaliwa.

Nifanyeje ili niepukane na kuwa mgumba?
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Nini matokeo ya unusaji/uvutaji wa petroli kwa vijana?
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapaf... Read More

Jinsi ya Kusimamia Uchungu wa Kupendwa na Msichana
Jinsi ya Kusimamia Uchungu wa Kupendwa na Msichana
Kupendwa na msichana ni jambo la kufura... Read More

Nini kifanyike nini kwa mtu ambaye hafikii kilele au mshindo wakati anapofanya mapenzi?

Kuna aina ngapi za dawa za kulevya?
Tunatofautisha dawa za kulevya katika makundi mawili. Zile zinazokubalika na zile zisizokubalika ... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono? π
Habari rafiki! Leo t... Read More

Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi... Read More

Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujenga ujasiri wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo tutazungumzia jambo la muhimu sana, ambalo ni kujenga ujasiri wakati wa ngono. Hivi karibuni,... Read More

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
-
Kuwasiliana kwa Ukaribu Ha... Read More

Je, wasichana wana viungo gani vya uzazi na kazi zake ni zipi?

Je, Ni Vipi Kupata Msaada wa Kielimu Kuhusu Ngono?
Je, umewahi kujiuliza ni vipi unaweza kupata msaada wa kielimu kuhusu masuala ya ngono? Leo, tuta... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?
Kama wapenzi, kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako ni jambo... Read More

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!