Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALAMU MARIA

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Raphael Okoth (Guest) on June 19, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Njeru (Guest) on March 25, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Joseph Njoroge (Guest) on March 6, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Grace Wairimu (Guest) on December 16, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Kenneth Murithi (Guest) on November 6, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Mariam Hassan (Guest) on October 28, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Nyerere (Guest) on May 19, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Hassan (Guest) on March 8, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Vincent Mwangangi (Guest) on February 17, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Patrick Mutua (Guest) on July 31, 2022

Mungu akubariki!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 31, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Isaac Kiptoo (Guest) on June 21, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Andrew Mchome (Guest) on June 8, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Andrew Mahiga (Guest) on March 16, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Francis Mrope (Guest) on December 13, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on October 3, 2021

Amina

Daniel Obura (Guest) on September 25, 2021

Nakuombea πŸ™

Charles Wafula (Guest) on July 12, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Frank Sokoine (Guest) on April 6, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Irene Makena (Guest) on December 21, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

John Lissu (Guest) on July 28, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

John Lissu (Guest) on July 18, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Frank Sokoine (Guest) on July 16, 2020

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Mbithe (Guest) on June 15, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Victor Malima (Guest) on May 26, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Elizabeth Mtei (Guest) on May 23, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Edward Lowassa (Guest) on March 11, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Sumari (Guest) on March 3, 2020

Endelea kuwa na imani!

Lydia Mutheu (Guest) on February 13, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Thomas Mtaki (Guest) on January 4, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

David Nyerere (Guest) on October 27, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Njeri (Guest) on October 6, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Charles Mrope (Guest) on September 13, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Catherine Mkumbo (Guest) on September 3, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Anthony Kariuki (Guest) on August 9, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Macha (Guest) on May 21, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

David Sokoine (Guest) on May 17, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Nora Lowassa (Guest) on May 8, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

John Lissu (Guest) on March 17, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joy Wacera (Guest) on February 27, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Robert Okello (Guest) on February 1, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Majaliwa (Guest) on December 3, 2018

Rehema zake hudumu milele

James Kawawa (Guest) on November 15, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Musyoka (Guest) on October 30, 2018

Dumu katika Bwana.

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 28, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Diana Mumbua (Guest) on September 13, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Betty Kimaro (Guest) on August 28, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Nora Kidata (Guest) on July 28, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Janet Sumaye (Guest) on July 6, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Kimario (Guest) on March 23, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Anna Malela (Guest) on February 28, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Irene Makena (Guest) on December 30, 2017

Rehema hushinda hukumu

Henry Sokoine (Guest) on October 25, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Isaac Kiptoo (Guest) on September 26, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Rose Kiwanga (Guest) on September 21, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

George Tenga (Guest) on August 30, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Francis Mrope (Guest) on August 26, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Grace Njuguna (Guest) on July 15, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Related Posts

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About