Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Nifanye nini ili kuepuka kubakwa na mpenzi/ rafiki?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kuna baadhi ya vidokezo ambavyo vinaweza kukusaidia: 1. Usikae faragha na mwenzi wako kabla hujawa tayari na kumwamini. Ongozana na marafiki wengine hasa mwanzoni mwa urafiki wenu. Msitoke tu nyie wawili hadi hapo utakapojisikia kuwa umemjua kiasi cha kumwelewa na kumwamini. Pia jiepushe kukaa sehemu za faragha naye. 2. Kama utatoka naye, hakikisha kuwa kuna mtu anayejua mnakokwenda na ni muda gani unakusudia kurudi nyumbani. Ikiwezekana kuwa na namba ya simu ya mmoja kati ya rafiki zako. Hii itakusaidia kama ikijitokeza hali ya kutaka msaada. 3. Usikubali yeye alipe gharama zote. Ni vizuri kugawa gharama hizo kati yenu. Kama mtakwenda kwenye tamasha au kupata kinywaji hakikisha kulipia nusu ya hizo gharama. Ukifanya hivyo utamzuia mwenzio mawazo ya kukufikiria โ€œkuwa anakudai ngonoโ€œ kama malipo ya pesa yake aliyotumia. 4. Ni vizuri kutafakari na kuweka kichwani kabla ya kwenda naye popote juu ya nini unachotaka na kile usichotaka kitokee. 5. Onyesha wazi kuwa unaposema โ€œhapanaโ€œ unamaanisha โ€œhapanaโ€œ usimpe nafasi ya kuchukulia hiyo โ€œhapanaโ€œ kuwa ndiyo. 6. Amini hisia zako. Kama unaona unalazimishwa usisite kueleza maoni yako / unavyojisikia. Ikibidi ondoka sehemu hiyo.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Haki za uzazi ni zipi?

Haki za uzazi ni zipi?

Haki za binadamu ni haki zinazohusiana na mambo ya msingi na asili ya uhuru na heshima ya ubinadamu ... Read More
Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?

Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?

Watu wanaweza kuvumisha uongo wowote ili kupotosha
ukweli na kufanya mambo yao maovu wanayoy... Read More

Je, nini imani ya watu katika kutumia mawasiliano ya kimwili kama ishara ya mapenzi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kutumia mawasiliano ya kimwili kama ishara ya mapenzi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kutumia mawasiliano ya kimwili kama ishara ya mapenzi wakati wa ngo... Read More

Je, nikiambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI nifanye nini?

Je, nikiambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI nifanye nini?

Jambo la msingi ni kutokukata tamaa na kuwa na matumaini. Mara nyingine i inasaidia kama utakuwa ... Read More

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?

Wengi wa waathirika wa dawa za kulevya hukataa matatizo yao. Hudanganya kwa sababu hawataki kukub... Read More

Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo? Na kuna madhara yoyote ?

Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo? Na kuna madhara yoyote ?

Ni kweli kwamba kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa huleta msisimko mwilini.

Kisimi (au k... Read More

Ualbino husababishwa na nini?

Ualbino husababishwa na nini?

Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele... Read More
Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kama Ishara ya Mapenzi?

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kama Ishara ya Mapenzi?

Je, ni lazima kufanya ngono kama ishara ya mapenzi?๐Ÿค”

Haya, wapendwa vijana, hebu tuanze... Read More

Nifanyeje ili niepukane na kuwa mgumba?

Nifanyeje ili niepukane na kuwa mgumba?

Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa m... Read More

Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?

Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?

Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Habari zenu wapenzi wa Mapenzi! Kuna umuhimu mkubwa sana wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhus... Read More

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles | โœ๐Ÿป Re-Write Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About