Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi ya damu na kama damu nyingi i i ikienda sehemu hii i ii inasababisha uume kuwa mgumu na kusimama. Mtu anapolala huwa ametulia na hivyo damu inaweza kusukumwa kuelekea kwenye uume. Kwa hiyo, msukumo wa damu ndani ya uume ni sababu pekee ya uume kusimama. Pia kujaa kwa kibofu cha mkojo huweza kusababisha uume kusimama wakati wa kuamka usingizini asubuhi.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Yai mmoja hupevuka siku 14 kabla ya hedhi i i inayofuata. Baada ya yai kukomaa ndani ya kokwa la upa...
Read More
Habari wapendwa wasomaji, leo tutaangazia swali muhimu sana ambalo wapenzi wengi hujiuliza. Je, k...
Read More
Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li...
Read More
Muda unaofaa kutumia njia ya kupanga uzazi ni wakati unapojamiiana kwa mara ya kwanza. Huu ni wak...
Read More
Kama mwanaume, kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuonyesha msichana wako kuwa ana thama...
Read More
Jinsi ya Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono πππ
Karibu...
Read More
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea.
Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unawe...
Read More
Mwanamke ni hazina kubwa katika maisha ya kila mwanaume. Ni kiumbe chenye thamani, cha thabiti na...
Read More
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv...
Read More
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 197...
Read More
Je, umewahi kufikiria jinsi watu wanavyoelewa na kuheshimu mchakato wa uponyaji wakati wa ngono a...
Read More
Unapokwenda kwenye tarehe ya kwanza na msichana, ni muhimu sana kufikiria njia za kufanya tarehe ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!