Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mligo (Guest) on May 29, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Wairimu (Guest) on March 22, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Jane Malecela (Guest) on February 26, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Edwin Ndambuki (Guest) on September 29, 2023

Rehema zake hudumu milele

Stephen Kikwete (Guest) on August 5, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Njuguna (Guest) on April 21, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Hellen Nduta (Guest) on February 11, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Jackson Makori (Guest) on January 22, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Paul Kamau (Guest) on October 19, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Bernard Oduor (Guest) on October 6, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mary Njeri (Guest) on July 15, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Nkya (Guest) on June 21, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Elizabeth Mtei (Guest) on March 6, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Catherine Naliaka (Guest) on January 8, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Ruth Mtangi (Guest) on November 6, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

James Kimani (Guest) on October 29, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on October 19, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Kimaro (Guest) on August 27, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Christopher Oloo (Guest) on July 11, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Grace Mligo (Guest) on June 10, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 18, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Mallya (Guest) on March 18, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Nancy Komba (Guest) on March 8, 2021

Sifa kwa Bwana!

Diana Mallya (Guest) on March 3, 2021

Endelea kuwa na imani!

Janet Sumaye (Guest) on March 1, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Waithera (Guest) on February 7, 2021

Mungu akubariki!

George Wanjala (Guest) on November 19, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Chacha (Guest) on November 12, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

George Mallya (Guest) on October 16, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Stephen Mushi (Guest) on September 18, 2020

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Anna Malela (Guest) on August 22, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Anthony Kariuki (Guest) on June 3, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Fredrick Mutiso (Guest) on March 18, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Andrew Mchome (Guest) on February 25, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on January 7, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Jane Muthui (Guest) on January 5, 2020

Dumu katika Bwana.

Jackson Makori (Guest) on December 28, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Elizabeth Mrema (Guest) on December 8, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

John Lissu (Guest) on November 30, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Mbise (Guest) on August 5, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

David Chacha (Guest) on July 4, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Andrew Odhiambo (Guest) on July 2, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Lydia Mutheu (Guest) on June 16, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Betty Cheruiyot (Guest) on May 18, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Edith Cherotich (Guest) on April 18, 2019

Mwamini katika mpango wake.

James Kimani (Guest) on February 27, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Miriam Mchome (Guest) on January 22, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Alex Nakitare (Guest) on January 7, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mercy Atieno (Guest) on November 24, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Kenneth Murithi (Guest) on November 11, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Samson Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Nakuombea πŸ™

Frank Sokoine (Guest) on July 27, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samson Mahiga (Guest) on July 2, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Alice Jebet (Guest) on January 19, 2018

Amina

Patrick Kidata (Guest) on October 4, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Patrick Akech (Guest) on September 24, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Victor Sokoine (Guest) on July 28, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Related Posts

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About