Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on July 6, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kassim (Guest) on June 28, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sofia (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Halimah (Guest) on May 5, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Mussa (Guest) on May 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on March 2, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Leila (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Grace Mligo (Guest) on December 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Dorothy Nkya (Guest) on November 22, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on October 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on September 22, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on August 21, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on July 17, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Baridi (Guest) on April 26, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Yusra (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Adhiambo (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 31, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on March 14, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on January 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on December 27, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ali (Guest) on December 21, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 18, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mtumwa (Guest) on November 18, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Anna Malela (Guest) on October 26, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 19, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on October 18, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on September 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mariam Hassan (Guest) on September 5, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on September 3, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Amina (Guest) on August 21, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 24, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 16, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Fikiri (Guest) on March 3, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About