Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 14, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 7, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 23, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Halimah (Guest) on April 14, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on April 7, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on March 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 26, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on February 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rubea (Guest) on January 5, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Malela (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on November 14, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on October 30, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on October 18, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on October 9, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Amir (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Mligo (Guest) on September 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Mduma (Guest) on August 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 7, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 31, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mchawi (Guest) on May 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Wangui (Guest) on May 13, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on March 9, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Jane Muthui (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on February 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mboje (Guest) on December 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 6, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salum (Guest) on December 5, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on December 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on November 25, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About