Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on June 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on May 29, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Issack (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mary Kendi (Guest) on May 14, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Brian Karanja (Guest) on February 23, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on February 21, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on February 11, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kiza (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on October 6, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on September 25, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rahma (Guest) on August 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mgeni (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on August 12, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on July 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on June 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on May 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on May 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on April 22, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on February 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 15, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kawawa (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Bahati (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Francis Mtangi (Guest) on December 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Salima (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Anyango (Guest) on August 23, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on July 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 5, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Binti (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Josephine (Guest) on March 14, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mushi (Guest) on March 1, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Jebet (Guest) on February 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwanahawa (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
πŸ“– Explore More Articles