Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Athumani (Guest) on July 10, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Khadija (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Makena (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on May 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 13, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Kimotho (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Abubakar (Guest) on May 2, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Wilson Ombati (Guest) on April 30, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on April 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 8, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 6, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on March 27, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on March 11, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on March 4, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwanajuma (Guest) on February 12, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samuel Were (Guest) on January 30, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mazrui (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on October 16, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Kitine (Guest) on October 6, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 23, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Edith Cherotich (Guest) on September 11, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 27, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Mbise (Guest) on July 21, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on June 25, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Mushi (Guest) on May 28, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanakhamis (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on February 10, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on January 18, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Azima (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Hassan (Guest) on December 15, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

John Kamande (Guest) on December 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Shamsa (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mbithe (Guest) on November 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mzee (Guest) on November 16, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on November 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on October 7, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lucy Kimotho (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kimani (Guest) on August 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on July 26, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Arifa (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Mwikali (Guest) on June 18, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on June 9, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jamila (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on May 22, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Bernard Oduor (Guest) on April 22, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on March 29, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Farida (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

George Tenga (Guest) on March 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on January 21, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Amani (Guest) on January 10, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Related Posts

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More