Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Ishara ya Msalaba

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka 'Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina'.
Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda msalaba moyoni na kugusa Mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba Msalaba kwa nguvu zetu zote.
Tunafanya njia ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu Mmoja katika Nafsi tatu. Pia Msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu.

Ishara ya Msalaba Juu ya Panda la uso, mdomo na kifua kabla ya injili
Hii ina maana Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu Kwa Akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa midomo yangu, na Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu Wote.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jun 30, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Jun 6, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest May 2, 2024
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Apr 21, 2024
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Apr 1, 2024
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Mar 26, 2024
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Mar 24, 2024
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Feb 20, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Nov 5, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Jul 24, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Jul 7, 2023
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Jan 28, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Nov 28, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Feb 12, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Nov 24, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Betty Akinyi Guest Jul 6, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest May 11, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Feb 9, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Feb 5, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Jan 13, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Nov 23, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Oct 19, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Aug 23, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Apr 29, 2020
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Apr 12, 2020
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Nov 24, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Oct 2, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Aug 26, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jul 19, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Jun 29, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ John Lissu Guest Jan 9, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Dec 28, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Oct 12, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Jun 23, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Mar 28, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Mar 8, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Feb 23, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Nov 2, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Aug 4, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Mar 14, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Nov 20, 2016
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Sep 12, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Aug 22, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jul 22, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Wilson Ombati Guest May 6, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Jan 7, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jan 2, 2016
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Sep 26, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Sep 23, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Apr 25, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About