Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi ni kama Ifuatavyo;

Ibada

Ibada mara nyingi huusisha matendo ya kipekee. Ibada inaweza kuwa ya kuabudu, kusifu, kuomba toba na kushukuru

Mfano wa ibada ni, Ibada ya Ijumaa kuu, Ibada ya kuabudu sakramenti kuu

Sadaka

Ni majitoleo kwa Mungu kwa nia ya kuomba, kushukuru, zawadi au kutakasa.

Sadaka ninayoiongelea hapa ni sadaka tofauti na hela/pesa ambayo inapotolewa hupewa binadamu mwingine na sio Moja kwa moja kwa mlengwa (Mungu). Sadaka ninayoiongelea mimi ni sadaka mfano wa ile ya Kaini na Abeli, Mfano wa ile ya Ibrahimu, Mfano wa sadaka alizotoa Musa Jangwani. Naongelea sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya damu ya kuchinjwa.

Sadaka hii inatolewa knisani kwenye adhimisho la ibada ya misa takatifu pale padri anapotolea mkate na divai na kuigeuza kuwa mwili na damu ya kristu.

Kinachofanyika hapa ni matoleo ya sadaka ya mwili na damu ya Yesu aliyoitoa pale msalabani, Pale Mkate na divai vinapogeuzwa mwili na damu ya Yesu basi ni ishara ya Sadaka ya mwili na damu aliyoitoa Yesu.

Mfano wa sadaka ni inapofanyika mageuzi ya Ekaristi pekee bila kwenda na mtiririko wa Misa

Sala

Sala ni kuongea kwa sauti au kimya, kwa nia ya kuomba, kushukuru, kusifu au kutafakari.

Sala inaweza ikawa sala za maombi, shukrani, sifa au tafakari

Mfano wa sala ni, jumuiya za kikatoliki zinapokutana, Sala za kawaida za kila siku mfano Asubuhi, mchana, Jioni

Kumbuka: Sala sio maombi. Sala ni zaidi ya maombi. Sala inaweza ikawa tafakari, maombi, sifa au shukrani

Umuhimu wa Ibada ya misa ya kikatoliki

Ibada ya misa ya kikatoliki imechukua nafasi ya vyote hivi vitatu, sala/maombi, sadaka na ibada. Ukishiriki misa ya Katoliki ni sawa na umeshiriki Ibada, Sawa na umeshiriki maombi na ni Sawa na umeshiriki Sadaka.

Tofauti kati ya misa ya kikatoliki na ibada za madhehebu mengine

Madhehebu menginehayachukui yote mfano inaweza ikawa imefanyika ibada tuu, na maombi bila sadaka.

Kwa hiyo unapohudhuria na kushiriki ibada ambayo sio ya kikatoliki, unakua hujakamilisha misa bali ni ibada na maombi tuu. Unakua umekosa sadaka yani sadaka ya mwili na damu ya Kristu.

Ndiyo maana unatakiwa uudhurie Ibada ya Misa Takatifu ya Kikatoliki.

Tags: huusisha ibada ijumaa inaweza kati kipekee. kristu.. kuabudu kuomba kushukuru kusifu kuu kuwa mara matendo mfano na ni nyingi sadaka sakramenti sala/maombi toba tofauti tumsifu wa ya yesu.
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Samson Mahiga Guest Jun 29, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Grace Minja Guest Jun 23, 2024
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Esther Cheruiyot Guest Feb 19, 2024
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Sharon Kibiru Guest Feb 10, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ John Kamande Guest Nov 12, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Oct 6, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Jun 30, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Stephen Kangethe Guest Jun 25, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Charles Mchome Guest May 20, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Bernard Oduor Guest May 6, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest May 5, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Feb 22, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Feb 8, 2023
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest Feb 6, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Grace Majaliwa Guest Dec 29, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Anthony Kariuki Guest Nov 4, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Sep 1, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mtei Guest Jan 20, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Robert Ndunguru Guest Dec 24, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Margaret Anyango Guest Oct 18, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Sharon Kibiru Guest Mar 31, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Agnes Sumaye Guest Dec 9, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Paul Kamau Guest Nov 16, 2020
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Oct 4, 2020
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Peter Mwambui Guest Jun 12, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Sarah Mbise Guest Apr 18, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Sarah Mbise Guest Mar 27, 2020
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Jan 3, 2020
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Rose Lowassa Guest Dec 5, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Alice Mrema Guest Oct 18, 2019
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Frank Macha Guest Jun 18, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Jacob Kiplangat Guest May 19, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Francis Mtangi Guest Apr 7, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Richard Mulwa Guest Feb 2, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Oct 8, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ George Tenga Guest Jul 20, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Charles Wafula Guest May 28, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Jane Malecela Guest Apr 9, 2018
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Monica Adhiambo Guest Feb 27, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Nov 2, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Joyce Aoko Guest Aug 3, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mzindakaya Guest Jun 29, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Jun 1, 2017
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Sharon Kibiru Guest Apr 10, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Rose Amukowa Guest Mar 16, 2017
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Janet Sumaye Guest Mar 4, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Jul 24, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kitine Guest Jul 14, 2016
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Janet Sumaye Guest Dec 28, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Aug 27, 2015
Katika imani, yote yanawezekana

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About