Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Heshima za Liturujia kwa Bikira Maria

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kuna ibada za Mama Bikira Maria zinazoadhimishwa katika liturujia ya Kiroma. Hapa zimepangwa kulingana na heshima zinavyozidiana:
Sherehe
8 Desemba – Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili 1 Januari – Bikira Maria Mama wa Mungu 25 Machi – Bikira Maria Kupashwa Habari 15 Agosti – Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni

Sikukuu

31 Mei – Maamkio ya Bikira Maria 8 Septemba – Kuzaliwa kwa Bikira Maria

Kumbukumbu

Juni – Moyo Safi wa Maria 15 Septemba – Mama Yetu wa Huzuni 22 Agosti – Bikira Maria Malkia 7 Oktoba – Bikira Maria wa Rozari 21 Novemba – Bikira Maria Kutolewa Hekaluni

Kumbukumbu za Hiari

11 Februari – Bikira Maria wa Lurdi 13 Mei – Bikira Maria wa Fatima 16 Julai – Bikira Maria wa Mlima Karmeli 5 Agosti – Kutabaruku Kanisa la Bikira Maria 12 Septemba – Jina takatifu la Maria 12 Desemba – Bikira Maria wa Guadalupe
Tena kila Jumamosi isiyo na adhimisho maalumu, Kanisa huadhimisha kumbukumbu ya Mama wa Mungu.
Pia zipo heshima za binafsi kwa Bikira Maria: mashariki zinatumika tenzi na nyimbo mbalimbali, k.mf. Akatistos inayomuita β€œdaraja linalounganisha dunia na mbingu”, β€œngazi aliyoiona Yakobo” β€œkina kisichochunguzika kwa macho ya malaika” (Mwa 28:12); magharibi]] anaheshimiwa kwa rozari.
Wakristo wanaomheshimu Bikira Maria hawamuabudu hata kidogo, lakini wanamtolea heshima ya juu kuliko watakatifu wengine. Tofauti ni kwamba Mungu tu anastahili kuabudiwa (kwa Kigiriki, β€˜latria’) watakatifu wanapewa heshima (β€˜dulia’) na Bikira Maria heshima zaidi (β€˜yuper-dulia’). Kanisa Katoliki linakiri neema zote za Mungu zinampitia Maria.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Jul 19, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest May 24, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Apr 1, 2024
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Mar 22, 2024
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Feb 28, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Oct 2, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Sep 26, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ James Kimani Guest Sep 7, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Sep 2, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jul 1, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Mar 15, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Nov 25, 2022
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Oct 28, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Aug 10, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Aug 9, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest May 24, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Mar 9, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Feb 18, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Aug 25, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Jun 4, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest May 16, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest May 8, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Dec 20, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Sep 18, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest May 2, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Apr 21, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Mar 7, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Jan 24, 2019
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Jan 19, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Aug 25, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Jun 3, 2018
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Apr 26, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Jan 31, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Jan 21, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Jan 5, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Dec 17, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Oct 29, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Aug 29, 2017
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest May 7, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Mar 21, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Mar 5, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Dec 19, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Nov 19, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Jun 27, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Dec 23, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Dec 20, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Dec 10, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Oct 9, 2015
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jul 17, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Jul 5, 2015
Tumaini ni nanga ya roho

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About