Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mambo manne ya mwisho katika maisha

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;
  1. Kifo
  2. Hukumu
  3. Mbinguni
  4. Motoni
Mambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajia

Kifo

Kifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.

Hukumu

Baada ya kifo, inafuata hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake kama ulitenda mema utaenda mbinguni, na kama umetenda mabaya utaenda motoni.

Mbingu

Kama mtu akifa akiwa katika hali usafi wa moyo anaelekea mbinguni. Haijalishi ni kwa kipindi gani aliishi hivyo. Ila ni kwa hali gani kifo kilimkuta. Kwa sababu hii kila mtu anatakiwa aishi katika hali ya usafi wa moyo kwani hajui ni wakati gani atakutwa na kifo.

Motoni

Kama mtu akifa katika hali ya dhambi anaenda motoni. Kwa hiyo inatupasa tutumie vyema msamaa na huruma ya Mungu katika maisha yetu ili mwishi wetu uwe mzuri wakati bado tukiwa na muda.
Kila unapoishi ni lazima ufikirie mambo haya ukizingatia hujui wakati yanaweza kukupata. Kwa hiyo, nilazima uishi ukiwa unatafakari haya
ili uwe na mwisho mzuri.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Jun 8, 2024
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Mar 23, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jan 23, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Dec 17, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Aug 11, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest May 7, 2023
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Feb 1, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Nov 11, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Aug 22, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest May 26, 2022
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest May 11, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Apr 24, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ James Malima Guest Apr 7, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Mar 20, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Mar 8, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Aug 13, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest May 14, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest May 4, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Sep 15, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Sep 13, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Apr 3, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ George Mallya Guest Mar 1, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jan 23, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Sep 17, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ John Kamande Guest Aug 31, 2019
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Apr 11, 2019
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Feb 14, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ George Mallya Guest Feb 6, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Jan 3, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Dec 2, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Apr 12, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Apr 6, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Sep 18, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Aug 18, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Apr 4, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Apr 3, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Mar 24, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Dec 17, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Oct 9, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Sep 9, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Jul 28, 2016
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Mar 21, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Mar 8, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Nov 21, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Nov 7, 2015
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Oct 28, 2015
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Sep 17, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jul 9, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Jun 25, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest May 5, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About