Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mafundisho kuhusu Toharani

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Toharani ni mahali gani?

Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya kuungama dhambi. (1Kor 3:15, 1Pet 1:7).

Β 


Β 

Je, hatuwezi kupunguza mateso ya roho za marehemu waliokwenda toharani?

Ndiyo: twaweza kupunguza hata kuyamaliza kwa kuwasalia na kuwapatia rehema na hasa kwa kuadhimisha Misa kwa ajili yao. (2Mik 12:38-46)

Β 


Β 

Toharani maana yake nini?

Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo huruma ya Mungu inawatakasa marehemu waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda Mmakabayo β€œalichanga fedha kwa kila mtu jumla drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa sadaka ya dhambi.
Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46). Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: β€œKama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?” (1Kor 15:29).
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest May 23, 2024
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Apr 11, 2024
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Dec 11, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Oct 28, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Oct 12, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Oct 2, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Sep 25, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Aug 31, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Aug 11, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Apr 9, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Mar 16, 2023
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jan 7, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ David Chacha Guest Oct 30, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Oct 29, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Oct 14, 2022
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Aug 24, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ John Kamande Guest Mar 31, 2022
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Mar 18, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Feb 21, 2022
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Sep 1, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Apr 10, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Jul 16, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Jun 14, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Apr 10, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Nov 1, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Oct 25, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Aug 31, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Aug 23, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Apr 10, 2019
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Apr 8, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Oct 12, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Oct 11, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest Jun 20, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Jun 15, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest May 14, 2018
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Mar 5, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Feb 17, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Nov 16, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest May 25, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest May 24, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Mar 9, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Nov 12, 2016
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Nov 6, 2016
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Jun 18, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Mar 13, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Oct 24, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Oct 10, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Sep 7, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Jul 16, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Jul 10, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About