Log in to access your menu with tools for managing 📝 tasks, 👥 clients, 💰 finances, 📖 learning, 🔍 personal growth, and 🌟 spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!! Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:- ''YEAH NI TEMBA hapa au
Updated at: 2024-05-25 18:07:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!! Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:- ''YEAH NI TEMBA hapa au YEAH NI CHEGE hapa…!!!
Yeye akasema: "YEAH NIKINYA HAPA…!!!" Watu wakapiga kelele ''UTAZOAAA'' mwenyewe bwenge wee
JE, WEWE UNGEJITAMBULISHAJE NAITAJI JIBU LAKO TUONE♥
Updated at: 2024-05-25 17:02:59 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
JE WAJUA?
Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umri wao wa kuishi ni miaka 15. Kobe ni mnyama mwenda pole, asiye na papara wala pilika, muda mwingi hujificha na kupumzika ndani ya jumba lake akikwepa maadui. Umri wa kuishi kobe hufikia hadi miaka 300. FUNZO: Mazoezi ni kiinimacho na uongo mtupu. Jipumzikie mwaya!!! 🏃🏾🏃🏿
Updated at: 2024-05-25 17:54:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma akawambia wanafunzi.
'leo tutajifunza kipindi cha dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha kwa vitendo.
Je % Ngapi unampa mwalimu kwa kusolve kibarua chake.????
Updated at: 2024-05-25 17:50:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
CHEKA KIDOGO Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria Baada ya abiria kusachiwa na majambaz hao na kukutwa hawana pesa, majambaz wakasema kila m2 atapigwa viboko (bakora) kutokana na namba ya shati alilovaa Aliyekua hana namba atasalimika Kaz ikaanza, jamaa alievaa jez ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwengine alievaa nguo ya 50cent akapigwa 50, n.k, sasa kwa pemben kulikua na jamaa analia sn yaani kila akijiangalia, kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa LOWASA 2015 duuuh! Unajua kilichotokea ngoja niweke cm chaji kwanza.
Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaji mapumziko japo ya mwezi. Sasa tafadhali chukua hivi vidonge vya usingizi vitasaidia sana.
Updated at: 2024-05-25 18:04:24 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaji mapumziko japo ya mwezi. Sasa tafadhali chukua hivi vidonge vya usingizi vitasaidia sana.
Mama: Asanteni sana, sasa niwe nampa mara ngapi?
Dokta: Unatakiwa wewe uwe unakunywa vidonge hivi kutwa mara tatu kwa mwezi mzima, mumeo atapona.