Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Featured Image
236 💬 ⬇️

Usichokijua kuhusu shamba lako

Featured Image
236 💬 ⬇️

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 💬 ⬇️

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image
236 💬 ⬇️

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."
236 💬 ⬇️

Mapenzi Stress tupu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image
238 💬 ⬇️

Wadada acheni hizo

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About