Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mshahara usiobadilika

Featured Image
237 💬 ⬇️

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

 

237 💬 ⬇️

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

237 💬 ⬇️

Ni wazo tuu!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image
238 💬 ⬇️

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Featured Image
Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA?
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image
238 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About