Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18

236 💬 ⬇️

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Featured Image

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la

 

236 💬 ⬇️

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 💬 ⬇️

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Featured Image
237 💬 ⬇️

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mwanamke kazidi sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About