Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.

236 💬 ⬇️

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ukata wa January

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 💬 ⬇️

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu mchezo hautaki makeup

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About