Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on June 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sarah Mbise (Guest) on June 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Halima (Guest) on May 26, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 22, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on April 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on March 27, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on February 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kiza (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Issa (Guest) on February 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 5, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mzee (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on November 16, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jaffar (Guest) on October 15, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on September 28, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Faith Kariuki (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Sokoine (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamal (Guest) on September 10, 2023

Asante Ackyshine

Mwanaidi (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 27, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joy Wacera (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on February 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on February 6, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on January 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 19, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 20, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Sumari (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 15, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Neema (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Vincent Mwangangi (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on July 3, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Zuhura (Guest) on June 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Related Posts

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
πŸ“– Explore More Articles