Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Madenge hakosi visa. Soma hii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

236 💬 ⬇️

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 💬 ⬇️

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

 

236 💬 ⬇️

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image
237 💬 ⬇️

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Featured Image
Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: Ni fundi wa kufunga ATM Demu: Wow dont tel me i love you myn mwa mwa mwaaaaah
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About