Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Featured Image

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la

Β 

236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Featured Image
WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa changu.
236 πŸ’¬ ⬇️

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 πŸ’¬ ⬇️

Mambo ya kijijini haya!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About