Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image
Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani peke yake. Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama {confess} "Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana." Padri, "Endelea…"
236 💬 ⬇️

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Featured Image

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.
MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,

236 💬 ⬇️

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 💬 ⬇️

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About