Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Featured Image

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?

Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

236 πŸ’¬ ⬇️

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Featured Image

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipokwenda nyumbani akamuelezea mamake, mamake akamuuliza je wewe ulinyosha mtoto hapana mama yule mama akamuuliza kwanini.

236 πŸ’¬ ⬇️

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 πŸ’¬ ⬇️

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Β 

236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About