Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 4, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Bahati (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Athumani (Guest) on December 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 13, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on December 1, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Adhiambo (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zulekha (Guest) on October 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on September 30, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on September 20, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 13, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 29, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maimuna (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nora Kidata (Guest) on July 19, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on July 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rubea (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on May 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on May 10, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on May 6, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on April 25, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joy Wacera (Guest) on April 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Carol Nyakio (Guest) on March 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rahma (Guest) on March 13, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nora Lowassa (Guest) on March 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 25, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on February 4, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on January 30, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kahina (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Maulid (Guest) on October 24, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Leila (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Miriam Mchome (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on September 5, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Stephen Kikwete (Guest) on August 25, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on July 29, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 18, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Malima (Guest) on June 30, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles