Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on June 11, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on June 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 23, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on April 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on April 19, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on March 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Saidi (Guest) on February 25, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jamal (Guest) on January 23, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on December 7, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Richard Mulwa (Guest) on November 5, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on October 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on September 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on July 19, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on July 16, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Kawawa (Guest) on June 16, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jafari (Guest) on June 8, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Farida (Guest) on June 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on May 26, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 16, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Umi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Akech (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Mallya (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on January 29, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Amollo (Guest) on January 18, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Raha (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on November 30, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Alice Mwikali (Guest) on October 27, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on October 21, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Sumari (Guest) on October 18, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lucy Kimotho (Guest) on September 27, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Francis Mtangi (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Michael Mboya (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on July 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Malisa (Guest) on June 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More