Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

MALAIKA WA MUNGU

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Hapo Mwanzo Mungu aliumba Malaika katika hali ya njema na Heri kubwa. Kisha aliumba mbingu na nchi, na viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekena. (Kol, 1;16, Mwa, 1;31)
Malaika ni viumbe vilivyo Roho tuu vyenye akili na utashi. (Zab 91:11, Ebr 1:7, Uf, 12:7-9).
Malaika wengine walikosa kwa kumkaidi Mungu, wakatupwa motoni na ndio Mashetani ambao Mkubwa wao ni Lusiferi. (Yn, 8:44: Uf 12:7-9,).
Mungu aliumba Malaika ili Wamtukuze, Wafurahi nae Mbinguni na wawe Matarishi/wajumbe wake kwa Wanadamu. (Tob 12:12, Lk. 16:22).
Malaika wema kazi yao ni kutuombea, kutumwa na Mungu kwetu, na wanatulinda kama Malaika walinzi. (Ebr, 13:2). Ambapo kila Mwanadamu ana Malaika wake wa kumlinda na kumuongoza Roho na Mwili, ndie Malaika wake mlinzi, (Zab, 91:11, Mt. 18:10).
Malaika wote sio sawa, wapo Malaika Wakuu, Malaika wanaomtumikia Mungu Mbinguni kwa mfano Makerubi na Maserafi, na pia wapo Malaika walinzi.
Malaika wakuu ni Mikaeli, Gabrieli na Raphaeli (Dn, 10:13, Tobiti 12:15, Lk 1:26).
Mashetani kazi yao ni kuteswa Motoni na hutaka kudhuru Roho na Miili ya wanadamuna kutupoteza milele. (1 Petro, 5:8, Yoh, 8:44).
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Jul 16, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Jun 25, 2024
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Feb 8, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Dec 29, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ David Chacha Guest Sep 15, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Aug 2, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Jul 25, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest May 29, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest May 6, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest Apr 16, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Mar 13, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Oct 26, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest May 29, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Apr 15, 2022
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Mar 1, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Feb 16, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jan 21, 2022
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Nov 27, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Sep 23, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Aug 29, 2021
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jul 25, 2021
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Jul 17, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Mar 21, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Oct 24, 2020
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Aug 30, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Aug 26, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Aug 2, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jul 21, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Feb 1, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Nov 21, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ John Mushi Guest Nov 11, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Sep 27, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest May 25, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Mar 10, 2019
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Dec 20, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Sep 21, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Aug 16, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Mar 20, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Sep 23, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Jul 9, 2017
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Feb 23, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Jan 16, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest Dec 17, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Nov 6, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Sep 12, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest May 21, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Jan 15, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Dec 2, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Oct 13, 2015
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Jul 18, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About