Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 262

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Oct 18, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Oct 14, 2022
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Sep 19, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Mwanahawa Guest Aug 11, 2022
πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
πŸ‘₯ Zakaria Guest Aug 4, 2022
πŸ˜† Nacheka hadi chini!
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Jul 31, 2022
Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Jun 26, 2022
Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Jun 15, 2022
πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Apr 29, 2022
πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Apr 29, 2022
🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Apr 14, 2022
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Mar 19, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Mar 11, 2022
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Feb 7, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Feb 3, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†
πŸ‘₯ Abdullah Guest Jan 7, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣
πŸ‘₯ Mustafa Guest Dec 17, 2021
😁 Kicheko bora ya siku!
πŸ‘₯ Mwanaisha Guest Dec 10, 2021
πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Dec 9, 2021
πŸ˜„ Kichekesho gani!
πŸ‘₯ Wilson Ombati Guest Nov 8, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Ndoto Guest Nov 6, 2021
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Oct 1, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Sep 23, 2021
Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š
πŸ‘₯ Safiya Guest Sep 19, 2021
πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!
πŸ‘₯ Bahati Guest Sep 15, 2021
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Sep 5, 2021
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Aug 6, 2021
Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Jul 22, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Jul 20, 2021
Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Jul 9, 2021
Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Jul 7, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Jul 5, 2021
Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Kijakazi Guest Jun 29, 2021
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
πŸ‘₯ Hashim Guest May 15, 2021
πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest May 12, 2021
πŸ˜„ Umenishika vizuri!
πŸ‘₯ Aziza Guest Apr 30, 2021
🀣 Kichekesho bora kabisa!
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Apr 12, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Apr 7, 2021
Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Mwalimu Guest Apr 6, 2021
πŸ˜„ Kichekesho kamili!
πŸ‘₯ Zainab Guest Mar 22, 2021
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„
πŸ‘₯ Abdillah Guest Mar 15, 2021
πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Feb 25, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Feb 23, 2021
πŸ˜… Bado nacheka!
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Feb 12, 2021
Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Feb 1, 2021
Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jan 26, 2021
Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Jan 23, 2021
Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Jan 7, 2021
πŸ˜† Hiyo punchline!
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Jan 1, 2021
Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Dec 26, 2020
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Zakia Guest Dec 4, 2020
🀣 Hii imewaka moto!
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Nov 15, 2020
🀣 Hii imenigonga vizuri!
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Nov 10, 2020
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Nov 10, 2020
Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Oct 25, 2020
Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Sep 28, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Fikiri Guest Sep 27, 2020
πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Sep 14, 2020
Nimecheka hadi machozi 🀣😭
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Sep 7, 2020
Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 10, 2020
πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About