Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Bernard Oduor (Guest) on August 6, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on July 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kijakazi (Guest) on June 29, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Hashim (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Komba (Guest) on May 12, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Aziza (Guest) on April 30, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on April 6, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Zainab (Guest) on March 22, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Abdillah (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Paul Ndomba (Guest) on February 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on February 12, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 1, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on January 26, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on January 23, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Stephen Kangethe (Guest) on January 1, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on December 4, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elijah Mutua (Guest) on November 10, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on November 10, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on October 25, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fikiri (Guest) on September 27, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on July 10, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on May 29, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 28, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on April 6, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on March 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Wande (Guest) on January 28, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Christopher Oloo (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on December 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Tenga (Guest) on December 17, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Njeri (Guest) on December 6, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 28, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Chris Okello (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on October 5, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kahina (Guest) on September 25, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Ndomba (Guest) on September 20, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on September 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samson Mahiga (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on July 31, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salum (Guest) on July 19, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on July 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Fredrick Mutiso (Guest) on June 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Related Posts

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About