Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Lissu (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Baridi (Guest) on October 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ramadhan (Guest) on September 1, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on August 2, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Leila (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on May 26, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on May 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Wanjiru (Guest) on May 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on May 12, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Mushi (Guest) on April 4, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Minja (Guest) on February 18, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mazrui (Guest) on February 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Chacha (Guest) on January 27, 2021

Asante Ackyshine

David Sokoine (Guest) on January 20, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on December 11, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on December 6, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Musyoka (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Yusra (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Leila (Guest) on October 25, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Martin Otieno (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kangethe (Guest) on October 10, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 25, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on September 10, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on September 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on August 18, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 29, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Kheri (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 1, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Mwikali (Guest) on May 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lydia Wanyama (Guest) on May 21, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Samson Tibaijuka (Guest) on May 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on April 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on April 6, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on February 22, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 16, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on January 9, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on January 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mbise (Guest) on December 11, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on December 8, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.