Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Emily Chepngeno (Guest) on July 23, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maulid (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kevin Maina (Guest) on June 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 27, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on April 8, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Raha (Guest) on March 12, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on March 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on February 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on February 12, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on January 2, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Fadhili (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Frank Sokoine (Guest) on December 12, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Zubeida (Guest) on November 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on November 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on October 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 7, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on August 6, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Maulid (Guest) on July 31, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Otieno (Guest) on July 5, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on July 4, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on June 7, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ahmed (Guest) on June 5, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on May 31, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Chacha (Guest) on April 25, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on April 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Farida (Guest) on April 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Sumari (Guest) on April 1, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on March 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Kimotho (Guest) on February 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on February 23, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 6, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on February 1, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Masika (Guest) on January 21, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 16, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on January 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on December 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Margaret Anyango (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on October 13, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mutheu (Guest) on October 3, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Wairimu (Guest) on September 6, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on August 19, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Athumani (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Irene Makena (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Issa (Guest) on July 12, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Hashim (Guest) on July 2, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 25, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hamida (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Jamal (Guest) on May 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Related Posts

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

πŸ“– Explore More Articles