Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Malima (Guest) on March 24, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017

Mungu akubariki!

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Kahina (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake hudumu milele

Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 9, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)