Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote. Kumbuka ile tamaa yako kuu uliyoonyesha huku duniani ya " kusimika Msalaba wa Yesu Kristu, katika nchi zote na kuhubiri Injili mpaka mwisho wa dunia" . Twakuomba kwa ajili ya maagano yako, wasaidie mapadre, wamisionari, na kanisa zima.

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu " Msimamizi wa misioni" UTUOMBEE

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard (Guest) on July 1, 2024

The scriptures are extremely nourishing. I like the combinations of the prayers in this. May God bless you

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024

Asante sana, Na wewe pia ubarikiwe.

Richard (Guest) on July 1, 2024

Quite inspiring. The scriptures are extremely nourishing. I like the combinations of the prayers in this. May God bless you

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024

Amina. Karibu sana,
Endelea kubarikiwa.

Nora Lowassa (Guest) on June 3, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Ann Wambui (Guest) on March 17, 2024

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Rose Amukowa (Guest) on February 22, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

George Mallya (Guest) on January 11, 2024

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Susan Wangari (Guest) on October 25, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Sarah Mbise (Guest) on October 17, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Njuguna (Guest) on September 2, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Joyce Mussa (Guest) on June 23, 2023

Rehema hushinda hukumu

Nancy Akumu (Guest) on April 16, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joyce Mussa (Guest) on March 31, 2023

Sifa kwa Bwana!

Victor Malima (Guest) on December 4, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Mwinuka (Guest) on November 30, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Mwinuka (Guest) on November 27, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sarah Achieng (Guest) on November 20, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Monica Nyalandu (Guest) on September 3, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Kevin Maina (Guest) on August 13, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Diana Mumbua (Guest) on July 4, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Hamida (Guest) on April 17, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Janet Mwikali (Guest) on March 7, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Ann Awino (Guest) on January 27, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Nancy Kabura (Guest) on January 26, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Betty Kimaro (Guest) on July 31, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mercy Atieno (Guest) on June 23, 2021

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Carol Nyakio (Guest) on June 6, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Patrick Akech (Guest) on May 22, 2021

Rehema zake hudumu milele

Betty Cheruiyot (Guest) on March 21, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Ann Wambui (Guest) on February 10, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Francis Mrope (Guest) on February 6, 2021

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Edward Lowassa (Guest) on December 27, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Michael Onyango (Guest) on November 20, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Violet Mumo (Guest) on October 5, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Isaac Kiptoo (Guest) on June 10, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kawawa (Guest) on February 28, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Catherine Mkumbo (Guest) on February 18, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on January 12, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Catherine Mkumbo (Guest) on September 26, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Wanjala (Guest) on September 15, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Stephen Kangethe (Guest) on August 18, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Nancy Akumu (Guest) on April 29, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Benjamin Masanja (Guest) on April 14, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lucy Mushi (Guest) on January 29, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kiwanga (Guest) on January 15, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on January 14, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Richard Mulwa (Guest) on January 6, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthoni (Guest) on January 1, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Charles Mrope (Guest) on December 23, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Anna Malela (Guest) on November 20, 2018

Endelea kuwa na imani!

George Mallya (Guest) on November 13, 2018

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Jane Muthui (Guest) on August 25, 2018

Dumu katika Bwana.

Frank Macha (Guest) on July 10, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Samuel Omondi (Guest) on July 2, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Kimani (Guest) on June 26, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

David Sokoine (Guest) on April 30, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Kevin Maina (Guest) on March 17, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Monica Nyalandu (Guest) on November 17, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About