Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida)

Mwanzo, kwenye Msalaba:

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

Kwenye chembe ndogo za awali:

K: Ee Mungu utuelekezee msaada W: Ee Bwana utusaidie hima
W: Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.

Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.

KATIKA KILA FUNGU SALI SALA ZIFUATAZO:

Kwenye chembe kubwa:

Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa, na siku zote, na milele. Amina.

Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.

Ee Maria Mama wa Msaada wa daima
Sikiliza maombi ya roho zetu
Unaweza kutusaidia katika mahitaji yetu
Ee Maria kwa matumaini twakuita wewe.

Kwenye chembe ndogo:

Kama unasali mwenyewe: β€œEe Maria, utusaidie! (mara kumi)
Kama mnasali zaidi ya mmoja kwa pamoja: K; Ee Maria, W: Utusaidie. (mara kumi)

MWISHO SALI SALA ZIFUATAZO:

Salamu Maria

Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu Mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa, na saa ya kufa kwetu. Amina. (mara tatu)

Tunaukimbilia

Tunaukimbilia ulinzi wako, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe siku zote, kila tuingiapo hatarini, ee Bikira Mtukufu na mwenye baraka,. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Lowassa (Guest) on September 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Malela (Guest) on September 6, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

John Malisa (Guest) on August 23, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sarah Karani (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Anna Mahiga (Guest) on June 24, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Samuel Were (Guest) on March 25, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Victor Sokoine (Guest) on March 16, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Malisa (Guest) on January 3, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on December 4, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Bernard Oduor (Guest) on December 4, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Moses Kipkemboi (Guest) on September 4, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Anna Mchome (Guest) on August 21, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2016

Nakuombea πŸ™

Peter Mbise (Guest) on May 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on February 26, 2016

Endelea kuwa na imani!

Alice Jebet (Guest) on January 16, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Robert Okello (Guest) on October 8, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

John Lissu (Guest) on July 31, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Catherine Mkumbo (Guest) on May 29, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Njoroge (Guest) on May 9, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Sarah Mbise (Guest) on April 17, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Related Posts

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About