Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.

(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on February 26, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on February 25, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Hamida (Guest) on February 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

David Sokoine (Guest) on November 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Agnes Sumaye (Guest) on August 16, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Odhiambo (Guest) on July 24, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Chris Okello (Guest) on April 20, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Jackson Makori (Guest) on January 26, 2016

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Fredrick Mutiso (Guest) on January 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Catherine Mkumbo (Guest) on January 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Edward Chepkoech (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Karani (Guest) on June 24, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Ann Awino (Guest) on June 12, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Victor Kamau (Guest) on June 7, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Samson Tibaijuka (Guest) on May 14, 2015

Amina

Related Posts

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About