Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.

(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on February 26, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on February 25, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Hamida (Guest) on February 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

David Sokoine (Guest) on November 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Agnes Sumaye (Guest) on August 16, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Odhiambo (Guest) on July 24, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Chris Okello (Guest) on April 20, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Jackson Makori (Guest) on January 26, 2016

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Fredrick Mutiso (Guest) on January 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Catherine Mkumbo (Guest) on January 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Edward Chepkoech (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Karani (Guest) on June 24, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Ann Awino (Guest) on June 12, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Victor Kamau (Guest) on June 7, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Samson Tibaijuka (Guest) on May 14, 2015

Amina

Related Posts

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About