Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama zao, dhidi ya utoaji mimba au hatari nyingine dhidi ya uhai wa binadamu)

Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa Yesu, mlinzi na mtunzaji wa Familia Takatifu, na wa familia zote. Tuna imani kabisa katika uangalizi wako uliojaa upendo, juu ya uhai mpya, na uaminifu wako kwa familia.

Tunaweka jitihada zetu chini ya ulinzi wa sala zako. Utusaidie daima katika kutetea zawadi ya uhai wa binadamu, ili ukue hadi uzima wa milele ulioahidiwa na kujaliwa kwetu na Mwanao, Ndugu yetu, Yesu Kristu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Joyce Aoko (Guest) on October 13, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Wilson Ombati (Guest) on September 26, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Mary Njeri (Guest) on September 2, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Betty Akinyi (Guest) on June 23, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Henry Mollel (Guest) on April 20, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Joyce Nkya (Guest) on April 12, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Kawawa (Guest) on January 24, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Chris Okello (Guest) on December 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Mwangi (Guest) on November 25, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alice Jebet (Guest) on November 19, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ann Awino (Guest) on August 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Faith Kariuki (Guest) on July 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Charles Mrope (Guest) on March 21, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Chris Okello (Guest) on October 18, 2015

Nakuombea πŸ™

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Simon Kiprono (Guest) on September 12, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Lowassa (Guest) on August 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

George Ndungu (Guest) on June 10, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumari (Guest) on May 31, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lydia Mahiga (Guest) on May 30, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Related Posts

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About