Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Maria Bikira Milele, na mkubwa wa Familia Takatifu. Umechaguliwa na Mwakilishi wa Kristu kama Msimamizi wa kimbingu na mlinzi wa Kanisa alilolianzisha Kristu. Ndiyo maana ninakuomba kwa matumaini makuu usaidizi wako wenye nguvu kwa ajili ya Kanisa zima duniani.

Mlinde kwa namna ya pekee, kwa upendo wa kikweli wa ki-baba, Baba Mtakatifu na Maaskofu wote na Mapadre wenye ushirika na Kiti cha Petro. Uwe mlinzi wao wote wanaotumikia wokovu wa wanadamu kati ya majaribu na mahangaiko ya maisha haya, na utujalie kwamba watu wote wa dunia hii wamfuate Kristu na Kanisa alilolianzisha.


Mpendwa Mtakatifu Yosefu, ukubali majitoleo ya nafsi yangu ambayo sasa ninafanya. Ninajiweka wakfu kwako kwa ajili ya utumishi wako, ili daima wewe uwe baba yangu, mlinzi wangu, na kiongozi wangu katika njia ya wokovu. Unijalie usafi mkuu wa moyo na matamanio makuu ya maisha ya kiroho. Unijalie ili matendo yangu yote, kwa mfano wako, yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, pamoja na Moyo wa kimungu wa Yesu, moyo safi wa Maria, na moyo wako wa ki-baba. Uniombee, nami nishiriki kifo chako cha furaha na kitakatifu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Nkya (Guest) on August 17, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mwanaidi (Guest) on July 17, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Michael Mboya (Guest) on May 23, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Daniel Obura (Guest) on March 6, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Grace Mligo (Guest) on February 5, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Peter Tibaijuka (Guest) on December 5, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Moses Kipkemboi (Guest) on November 17, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

David Chacha (Guest) on October 5, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Njeri (Guest) on July 16, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Mercy Atieno (Guest) on June 2, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Joseph Mallya (Guest) on April 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

John Lissu (Guest) on April 25, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Robert Okello (Guest) on April 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Kawawa (Guest) on April 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mercy Atieno (Guest) on March 25, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Anna Kibwana (Guest) on March 19, 2016

Rehema hushinda hukumu

Benjamin Masanja (Guest) on March 11, 2016

Mungu akubariki!

Grace Majaliwa (Guest) on November 1, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on July 3, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Mligo (Guest) on May 31, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Nancy Kabura (Guest) on May 19, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on May 16, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Mary Mrope (Guest) on April 23, 2015

Amina

Related Posts

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About