Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ann Wambui (Guest) on July 13, 2024

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Betty Akinyi (Guest) on July 12, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kiwanga (Guest) on April 6, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Anthony Kariuki (Guest) on March 5, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Sharon Kibiru (Guest) on October 15, 2023

Rehema zake hudumu milele

George Mallya (Guest) on July 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

James Malima (Guest) on June 27, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Irene Makena (Guest) on May 31, 2023

Dumu katika Bwana.

Chris Okello (Guest) on May 19, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ann Awino (Guest) on May 1, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Jane Malecela (Guest) on December 27, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Kibwana (Guest) on December 25, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Betty Kimaro (Guest) on December 2, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Nancy Komba (Guest) on November 17, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Patrick Kidata (Guest) on September 25, 2022

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Mushi (Guest) on September 9, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

James Kawawa (Guest) on July 21, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Michael Onyango (Guest) on June 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Charles Mrope (Guest) on December 17, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Elijah Mutua (Guest) on August 6, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Nyalandu (Guest) on July 19, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joyce Nkya (Guest) on June 5, 2021

Mungu akubariki!

James Mduma (Guest) on May 27, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Lucy Kimotho (Guest) on May 8, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Janet Sumaye (Guest) on April 11, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Charles Wafula (Guest) on March 5, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Irene Akoth (Guest) on January 22, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nancy Kawawa (Guest) on January 4, 2021

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Diana Mallya (Guest) on December 28, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ruth Wanjiku (Guest) on December 25, 2020

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Michael Onyango (Guest) on December 13, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2020

Nakuombea πŸ™

Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Musyoka (Guest) on November 16, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Kevin Maina (Guest) on September 10, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Akumu (Guest) on August 31, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mahiga (Guest) on August 2, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Joseph Kawawa (Guest) on May 27, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Linda Karimi (Guest) on May 8, 2020

Amina

Lucy Mushi (Guest) on April 3, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mboje (Guest) on February 1, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mariam Kawawa (Guest) on December 27, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Jane Muthui (Guest) on July 17, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Christopher Oloo (Guest) on May 2, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Martin Otieno (Guest) on February 16, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Henry Sokoine (Guest) on February 7, 2019

Endelea kuwa na imani!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Francis Mtangi (Guest) on October 25, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Mushi (Guest) on October 8, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Betty Kimaro (Guest) on August 1, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Moses Mwita (Guest) on July 12, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Minja (Guest) on April 22, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Elizabeth Mtei (Guest) on December 22, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Related Posts

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About