Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

KUMBUKA

Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.

Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Miriam Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Akoth (Guest) on April 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ann Wambui (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Sumaye (Guest) on March 10, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Peter Mwambui (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Emily Chepngeno (Guest) on August 29, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on August 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 12, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Tibaijuka (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mwanajuma (Guest) on March 13, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2016

Sifa kwa Bwana!

Margaret Anyango (Guest) on October 19, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on September 11, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Christopher Oloo (Guest) on September 10, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Awino (Guest) on June 5, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Masanja (Guest) on May 4, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About