Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Njuguna (Guest) on December 14, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on November 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on October 19, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on October 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanaisha (Guest) on September 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mustafa (Guest) on September 14, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on September 7, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on April 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Minja (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ruth Kibona (Guest) on January 14, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on October 29, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Majid (Guest) on July 28, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kassim (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jane Muthoni (Guest) on June 29, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mtangi (Guest) on June 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nassor (Guest) on June 6, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Malima (Guest) on April 15, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 10, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on April 4, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on March 13, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on February 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Farida (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Mchome (Guest) on January 5, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on December 31, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on November 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 4, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles